Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limezitaka taasisi za elimu ya juu nchini kuacha kuishia kuzalisha tafiti kwa ajili ya machapisho ya kitaaluma, badala yake zigeuzwe kuwa bidhaa, huduma na biashara zitakazotatua changamoto za jamii, kuzalisha ajira na kuchochea uchumi.

Back to Home
UNDP: Vyuo geuzeni tafiti kuwa biashara kutengeneza ajira
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
