Viongozi wa dini wamejitenga na lawama kuwa taasisi zao zinakwamisha mchakato wa marekebisho ya Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, wakisema hawana mamlaka ya kuamua umri wa mtu kuingia kwenye ndoa na watafuata masharti yatakayowekwa na Serikali.

Back to Home
Viongozi wa dini wajitenga na lawama za kukwamisha Sheria ya Ndoa
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
