Wakati makabila mbalimbali yakikusanyika Morogoro kuonyesha mavazi, ngoma, vyakula na mila zao katika Tamasha la Nne la Kitaifa la Utamaduni, viongozi wa mila na baadhi ya wadau wameibua hoja ya kulifanya suala hilo kuwa endelevu.

Back to Home
Viongozi wa mila, wadau waja na mapendekezo kulinda utamaduni
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
