Wachimbaji wadogo wa madini katika mgodi wa Namungo uliopo Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, wameiomba Serikali kupitia Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha) kuendesha mafunzo ya usalama na afya kazini mara kwa mara, ili kupunguza ajali na kutekeleza shughuli za uchimbaji kwa kuzingatia viwango vinavyotakiwa.

Back to Home
Wachimbaji Namungo waiomba Osha kuongeza mafunzo ya usalama kazini
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
