Mageuzi ya sera na uratibu mzuri wa taasisi mbalimbali vimetajwa kuwa nguzo muhimu zitakazoiwezesha Tanzania kufikisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa asilimia 80 ya wananchi, ifikapo mwaka 2034.

Back to Home
Wadau waanika vikwazo kufikia lengo la nishati safi 2034
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
