Wafanyakazi wa Mgodi wa Lindi Graphite Technologies Ltd uliopo wilayani Ruangwa, mkoani Lindi, wameeleza changamoto za mazingira ya kazi ikiwamo kutopatiwa vifaa vya kujikinga na kupewa majukumu tofauti na yale yaliyopo kwenye mikataba yao ya ajira.

Back to Home
Wafanyakazi Mgodi wa Lindi Graphite walalamikia ukosefu wa vifaa vya usalama
Mwananchi about 5 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
