Watu wengi wanaposikia habari za uwekezaji kwenye hisa, jambo la kwanza linalokuja akilini ni kwamba uwekezaji huu ni wa watu wenye fedha nyingi. Mtu anaweza kusema, “Mimi mshahara wangu ni mdogo, nitaanzaje kununua hisa?” Mwingine atasema, “Ngoja kwanza nijenge nyumba, ninunue gari na biashara yangu ikue, ndipo nitaanza kuwekeza.”

Back to Home
Wakati sahihi wa kununua hisa ni huu
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
