Wakati mtoto mchanga aliyeibwa hospitalini Chanika akifikisha siku 23 tangu alipochukuliwa na mtu asiyejulikana, wazazi wake wameomba kukutana na Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ili kumwelezea wanayopitia kutokana na tukio hilo.

Back to Home
Walioibiwa mtoto mchanga watamani kukutana na Waziri Mkuu
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
