Wanafunzi 150 waliofanya vizuri katika masomo ya sayansi wamepata fursa ya kusoma nchini Algeria kupitia mpango wa Samia Scholarship, huku Serikali ikisema itaendelea kufungua milango ya elimu ya juu nje ya nchi kwa vijana wenye uwezo, bila kujali hali zao za kiuchumi.

Back to Home
Wanafunzi 150 wa Samia Scholarship kwenda Algeria
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
