Wananchi wa kata za Lipangalala na Lumemo katika Halmashauri ya Mji Ifakara, Mkoa wa Morogoro, wameanza kunufaika na elimu ya tahadhari za mapema dhidi ya majanga kupitia mradi wa Early Warning Early Action (EWEA), unaotekelezwa na Shirika la Msalaba Mwekundu Tanzania kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA).

Back to Home
Wananchi Ifakara wapewa elimu ya tahadhari za mafuriko
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
