Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewataka wanachama wa chama hicho kukutana mara kwa mara katika vikao rasmi ili kujadili masuala mbalimbali na kuepuka kupotoshwa na taarifa zisizo za kweli zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii.

Back to Home
Wasira awataka wana-CCM kuhakiki taarifa za mitandaoni
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
