Wito umetolewa kwa vyuo vikuu Tanzania na Afrika kubadili mitalaa, kuimarisha mafunzo ya vitendo na kuunganisha elimu na sekta zinazohitaji maarifa hayo, ili wahitimu wanaopatikana waendane na mahitaji ya watu, soko la ajira, teknolojia na ujasiriamali.

Back to Home
Wasomi wataja mbinu elimu ya juu ikidhi mahitaji ya watu, soko la ajira
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
