Hofu imezidi kutanda kwa baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Babati mkoani Manyara baada ya watu wawili kufariki dunia katika matukio mawili tofauti yanayodaiwa kusababishwa na kushambuliwa na fisi.

Back to Home
Wawili wafariki dunia kwa kushambuliwa na fisi Manyara
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
