WhatsApp imetangaza maboresho mapya ya kiusalama katika akaunti zake, ikiwemo kuboresha mfumo wa uthibitishaji two-step verification, kutoa taarifa zaidi kuhusu namba ngeni za wapiga simu wasiojulikana na kuruhusu watumiaji kutumia zaidi ya passkey moja.

Back to Home
WhatsApp yaamua ‘kuwabana mbavu’ matapeli, wasiojulikana
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
