Viongozi wa Afrika wamesema umefika wakati wa kuelekeza nguvu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kupitia uwekezaji katika miundombinu, nishati na matumizi ya rasilimali za ndani, badala ya kujikita zaidi katika kuandaa maono na mikakati.

Back to Home
Afrika yaelekeza nguvu kwenye miundombinu
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
