Amesema licha ya bara hilo kuwa na mifumo mbalimbali ya maendeleo, ikiwemo Agenda 2063 ya Umoja wa Afrika, Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA) na mipango ya maendeleo ya kila nchi, wananchi wanahitaji kuona matokeo halisi kupitia miundombinu, ajira na ukuaji wa uchumi.

Back to Home
Samia: Afrika sasa ihame kutoka kwenye maono kwenda vitendo
Mwananchi about 6 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
