Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma inatarajia kukusanya tani 20,000 za kahawa katika msimu huu wa kilimo, huku ikieleza kuwa jitihada za Serikali za kuwawezesha wakulima kuzalisha kwa tija zinaendelea kuimarisha uzalishaji ili kukidhi mahitaji ya soko la ndani na kimataifa.

Back to Home
Mbinga kukusanya tani 20,000 za kahawa, wakulima waomba pembejeo wakichekelea bei
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
