Tanzania inatarajiwa kupata zaidi ya Sh10 bilioni kutokana na biashara ya kaboni baada ya Serikali kuidhinisha miradi minne itakayouza tani milioni 4.2 za kaboni katika soko rasmi la kimataifa.

Back to Home
Tanzania kunufaika na Sh10 bilioni biashara ya kaboni
Mwananchi about 6 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
