Kongamano la kitaifa la mageuzi ya kilimo limewaleta pamoja wadau wa kilimo kutoka serikalini, sekta binafsi, taasisi za utafiti na wakulima likilenga kutoa uelewa wa matumizi ya teknolojia, mbegu bora, uwekezaji na ushirikiano ili kuongeza tija, thamani ya mazao, usalama wa chakula, ajira na ukuaji wa uchumi wa Taifa.

Back to Home
Teknolojia, uwekezaji vyatajwa chachu ya mageuzi ya kilimo
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
