Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema mkandarasi amekamilisha kwa wakati awamu ya kwanza ya uvutaji wa nyaya katika eneo la Mkambarani mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya hatua za mwisho za utekelezaji wa mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa Kilovoti 400 kutoka Chalinze - Dodoma.

Back to Home
Uvutaji wa nyaya Chalinze - Dodoma wakamilika, huduma ya umeme yarejea
Mwananchi about 6 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
