Wakulima wanatarajiwa kuondokana na changamoto ya mbegu feki kufuatia kuanzishwa kwa utaratibu wa kuthibitisha ubora wa mbegu kabla ya matumizi kupitia kampeni maalumu ya kitaifa, inayolenga kuongeza tija ya uzalishaji na kuimarisha usalama wa chakula nchini.

Back to Home
Wakulima wa mahindi kubaini mbegu feki kidijitali
Mwananchi about 5 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
