Mshtakiwa, Rashid Makamba na wenzake wawili wanaokabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya aina ya kokeini, wanatarajia kusomewa hoja za awali (Ph), Agosti 10, 2026 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Back to Home
Wanaodaiwa kusafirisha gramu 29 za kokeini, kusomewa maelezo yao Jumatatu
Mwananchi about 6 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
