Kampuni ya Meta imeanza kusambaza maboresho mapya ya huduma za simu za sauti na video kupitia WhatsApp kwenye kompyuta, hatua inayowapa watumiaji uwezo wa kupiga na kupokea simu moja kwa moja kupitia ‘browser’ bila kulazimika kutumia programu maalumu ya WhatsApp desktop kama ilivyokuwa awali.

Back to Home
WhatsApp yaja na njia mpya ya kupiga simu kwenye kompyuta
Mwananchi about 5 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
